Niache lyrics by Diamond Platnumz with meaning. Niache explained, official 2024 song lyrics | LyricsMode.com
Request & respond explanations
  • Don't understand the meaning of the song?
  • Highlight lyrics and request an explanation.
  • Click on highlighted lyrics to explain.
Diamond Platnumz – Niache lyrics
[Verse 1]
Hhhhmm
Eti nikuombee mema
Na baraka uzidi fanikiwa
Siwezi kamwe wala (Hhhhmm)
Ni sawa na kuiforce sinema
Kuitazama na haijanivutia
Lazima tu ntalala (Oooh)
Na kwa barabara ukipita
Nenda kulia ukiniona kushoto
Sitaki hata tuonane (Hhhhmm)
Usije wala ukaniita
Donda vilia utanchochea tu moto
Nisije nkutukane (Hhhhmm)

[Bridge]
Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu Kujishongondoa
Kumbe mapenzi Hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu Nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema Penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa

[Chorus]
Niache......!
Niache......!
Niaache......! Oh Niache
Niache......!
Nipambane na moyo wangu
Niache......! (Niiaaa....!)
Niache......! (Moyo wangu una hasira)
Niaache......! Oh Niache
Niache......!
Oooh Oh!

[Verse 2]
Najitahidi nisilale kwenye kitanda
Huenda ntapunguza ndoto zako
Hhhhmm
Mwilini nina machale utadhani mwanga
Yote kuusahau uwepo wako
Hhhhmm
Laiti kama ningekuwa gari
Ningekugonga barabarani
Ama nyuki mtoa asali
Nkung'ate sura wasiitamani
Hivi wewe ungo ulivunja mwali
Ama ulivunja sahani
Kuniundia mateam kwa mitandao
Vijembe vya kazi gani

[Bridge]
Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu Kujishongondoa
Kumbe mapenzi Hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu Nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema Penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa

[Chorus]
Niache......! Oooh Niachee
Niache......! (Mimi moyo wangu una hasira)
Niaache......! (Tena ukae mbali)
Niache......! (Oooh Niachee)
Niache......! (Usiwapigie rafiki zangu)
Niache......! (Usithubutu hata simu yangu)
Niaache......! (Chonde tafadhali)
Niache......! (Niiaaa....!)

[Outro]
Iyoo Lizer
Hhhhmm
Ntakudanganya kwa tabasamu
Ntakudangany kwa kucheka
Ntakudanganya hata kwa salamu
Ila moyoni nakuchukia
Nitakudanganya kukufollow
Nitakudanganya kucomment
Nitakudangaya kulike picha
Ila siwezi kukuzimia
Mxiuuuuu
×



Lyrics taken from /diamond_platnumz-niache-1704551.html

  • Email
  • Correct
Niache lyrics © TUNECORE INC, TuneCore Inc.

Niache meanings

Write about your feelings and thoughts about Niache

Know what this song is about? Does it mean anything special hidden between the lines to you? Share your meaning with community, make it interesting and valuable. Make sure you've read our simple tips.
U
Min 50 words
Not bad
Good
Awesome!

Post meanings

U
Min 50 words
Not bad
Good
Awesome!

official video

Featured lyrics

0-9 A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z